Hii thread ni ya mamako??
Ngetiiiiii!
Ww hiyo GDP binafsi imekusaidia nn???
A bunch of twats.
Hi @MrsD
Utayua ukijua
Utayua ndo nn??
Zipo nenda majukwaani kwao utazikuta…
nirushie kathroughpass kamoja nikamue.
Kuwa (mvumilivu)
Ata waseme nini kiswahili ni lugha ya taifa
:D:D:D duh!!..mchana zinashinda kule jf halafu zinakuja huku mida kama hii…ngoja nikazishitue zije ubonge nazo utakavyo…:D:p
Aisee
Tunasukuma thread bado…
Na nilisema hivyo mwanzoni mkafuta uzi.
Unatukana refugees? Utapewa onyo na ufitiwe comment.