Ndo naingia leo, naombeni muomgo
sawa tumekuskia, wewe ni ndume au ni jike?
karibu lakini
PS: Muomgo ni nini?
Mihogo ? :oops:
Umekula?
:):)Bado kuna ndugu zangu kweli huku?
Muongozo
https://www.kenyatalk.com/index.php?forums/tanzania_talk/ wenzako wako hapo…
Asanteni sana jirani zangu kwa ushirikiano wenu
Eti mihogo…lol!
Tunasikitika kwa sababu hatuna mihogo ya kuchezea kumpa mgeni.
Miongozo (typing error)
Pita hivi
Tupo wengi jombaa, sisi wakimbizi kutoka jamii forums. Amini usiamini baadhi yetu sisi wakenya wa jf ni wageni humu pia.
Kweli mgeni ila karibu
new villager ha ha haaaaa
Naona ww village Elder hahahaa, na Mumu je,?
seniour villager
Sisi tuliwahi huku karibuni nyoote mjimwage.
Dahh…
Hakuna mizuka huku…
Wakenya wakarimu sana wakimbizi wa jamii forums Tz tupo wengi tu na tumepokelewa vizuri so karibu ndugu.
Mwambie namuita huku chumbani