@mumu njoo kwa bwana ako amekujaa
Hahahahaa,. Karibu vileja wetu
We mwanamke unakuja huku bila kutoa taarifa yoyote ile.
Hahahahaa sijui kachelewa wapi huyu…
Nilikuwa nakuandalia mazingira jamanii si unajua mambo ya ukimbizini…
Hahahaa alafu unajua kujitetea ww.
ww nakupata kabisa
Hahahaa ni nani mimi??