Mume mpya baada ya ndoa anakuwa mtamu asikwambie mtu, jardiniere mwenyewe

Uamke umkute ubavuni kwako, anakujulia hali. Morning glory tamu wewe, unakwenda kazini huku unaikumbuka na unamtumia vijitext nilikuwa ninakucheck tu.

Urudi nyumbani unafahamishwa mtaani kuwa wewe ni mke wa flani. Ukisikia tu like jina ni kama barafu imepenya kooni ndani ya joto la December.

Jikoni unatoa ufundi wako wote, kitungu shurti ukatie kwenye kibao. Na unamsubiri ule nae. Hata arudi saa nane usiku.

Haya Waliooa Kumekucha Huku
Jana Mmeitwa Malaya Leo Mnamwagiwa Sifa Hapa
Hawa Ndio Wanawake Wapo Kama Mawimbi Ya Bahari Tu

Na Mume wa Zamani/uliyemzoea?

Aaah. Aaah. Aaah. Jana tumeitwa? Na leo?

Rudini nyumbani naona JF imefunguliwa cc @Mahondaw, @Smart911, @Nyani Ngabu Halisi etc

Bado haijafunguliwa mkuu,i have just confirmed.Na hata ikifunguliwa hata huku tutabakia

ukishamzoea hawi mtamu tena?

Kipya kinyemi…

Nimeioa toka jana asubuhi… Ila kinachofanya kazi pekee ni PM… you can only communicate through PM…

Cc: @Mahondaw

Inapendeza…

Cc: @Mahondaw

Watu wengine wabishi kama mshipa wa Mzee Kinonko, hii ni nini?[ATTACH=full]179746[/ATTACH]

Hivi si unajua PM ndiyo kitu ya maana kwa JF maana ndipo tunawapata akina @Shunie etc

Ndio nipo huko najibu pm za watu

Sasa hapo imefunguliwa vipi…sema partially tu…we unaweza kureply au kufungua uzi?

kweli ni raha sana…

cc @Smart911

Mh pm tu… wana mpango gani hapo??

Ina display hivyo ila huwezi kuanzisha thread wala kufanya reply ya old thread

Ee Mungu mjalie kila msichana mwema aipate hii raha…

Maana hii ni ndoto ya kila msichana

Ndoa ya kidini au kiserikali?

Rah sana jamni