Ha
Ha haaaa
Ha
Ha haaaa
Mimi nataka nikujaalie ndoto yako itimie unasemaje?
Mmmh sasa woteeeee tuje PM
Uko sahihi Mkuu kila [SIZE=6]Msichana mwema [/SIZE][SIZE=4]atapata anachostahili.[/SIZE]
[SIZE=4]Hio ndoto kuna wengine wataishia kuiota tu[/SIZE]
Wanataka tusemane kimya kimya…
Haya jitahidini…
Cc: @Mahondaw
Ndoa ya kimila…
Cc: @Mahondaw
Hahahahaha… Kuna wengine si wema love
Hahahahaha… PM zina wenyewe smart
Hivi hii ya kusubiriana mpaka late night hours bado ipo kweli dunia ya leo?nakumbuka miaka ile mama angu alikuwa akifanya hii kitu…
@Shunie wewe mwenyezi mungu anakuona! Kunikataa tangu nyumbani hadi uhamishoni itabidi niombe @Demiss akuroge
Unajua @Mahondaw kila nikijaribu kwa mtu ananiwekea kauzibe mpaka nakata tamaa.
Mkuu mbona sikumbuki kama uliniomba kitu nikakukatalia
Tatizo la wanawake wazuri! Kila mtu anaomba mpaka anasahau nani kamuomba na nani anauma jino akimuona. Hata jana nilikuomba uniruhusu nijongee latika altare ya Bwana ukakausha
Naisubiri hii raha nikiolewa
Subiri akujampie ushizi wa kunuka, utakimbia mwenyewe.
:p:p:p:p:p:p
Manshaallah
Aisee kumbe ndoa mpya inakua hivi?
Ndoa zenyewe za siku hizi ni sawa na kupasha viporo tu hazina radha watu wanakuwa wameshagegedana miaka hata mitano
Sio mapenzi ya kikorea haya?