[MEDIA=instagram]BkflrpXnuta[/MEDIA]
Uchaguzi ujayo mbunge wangu Wa Sasa akirudi simpi kura
Nalog off
Tuliwashauri kwamba kuwa Mbunge wekeni kanuni ni lazima mtu awe anajua Kusoma Kuandika na Kuhesabu (KKK) mkagoma, mnaona sasa matokeo yake… kwamba Bunge ligeuke chombo cha kutetea Serikali - utapata wapi balance & checks ??