[ATTACH=full]356900[/ATTACH][ATTACH=full]356901[/ATTACH][ATTACH=full]356902[/ATTACH][ATTACH=full]356903[/ATTACH]
own goal ya pili
Hiyo mshande ni ya ukweli?
Amepoteza pesa murwa sana
Kuna watu wanakula vizuri
Iyo unga banae
In business that is pocket change.
Be careful when terminating employees even house helps. Make sure the law is on your side.
@captain obvious : That salary can buy 4,550 lanyes @150/-.
Kimakia ngui najua pesa ka hio hujawahi guza
hapo sawa as a jurist i can say that case is won, the only way out for Radio Africa ni out of court settlement.
but sijaelewa Shaffie has worked at Radio Africa for 18 years aje na amekuwa akifutwa job from one station to the other?
Radio Africa could be a conglomerate. So anarotate tu positions huko ndani under the same umbrella company. GoK knows Shaffie works for Radio Africa Group, sio one of its many stations. His employment contract is with Radio Africa Group probably, not Kiss, Homeboyz etc coz hizo ni ofisi tuu.
but still sielewi . if a company owns 5 stations how does an employee get fired from one then he gets employed in the other one.
They don’t get fired. They get re-assigned.
Hiyo ni redeployment. Firing means you are no longer needed.
Hapo sawa. Radio Africa waende kwa hao feminists wa chochio media wawachangie hizo pesa. The law doesn’t give a fuck about people’s emotions.
Hii mni matisho tu. He won’t get paid even a coin. Kwani yeye ndio wa kwanza kufutwa kazi hii kenya?
Hivi ndio maneno inafaa kufanywa. You just don’t go with a whimper without due process, cancel culture or not.
Swali kwa lawyers. Lawyers hukula how much for this type of work?? If he wins a lawyer will walk home very happy najua.
Yeah that guy selling mahindi choma is making millions a day. He’s in “business” after all.
Si hawa watu Radio Africa watapelekwa mbio, 1Mirrions fine, 21Mirrions za Shaffie na zile Terry Mkamba anaitisha pia