Oya wanakijiji karibuni kwangu leo nimetayarisha Nyama choma (Grilled) zaidi ya kilo moja tena pia kuna sima moto na kachumbari ya avocado. Ndoo angalau nikupe tonge. welcome.
[ATTACH=full]14912[/ATTACH]
Oya wanakijiji karibuni kwangu leo nimetayarisha Nyama choma (Grilled) zaidi ya kilo moja tena pia kuna sima moto na kachumbari ya avocado. Ndoo angalau nikupe tonge. welcome.
[ATTACH=full]14912[/ATTACH]
Mbona unakata ugali kama mtoto, na hizo nyama zinakaa ni kama zimechomwa na candle, utapata minyoo boss
Kwani hii nyama yako imechomwa kwa stove? Haikai kuiva
Grilled boss…Hii si choma ya moto direct…Imeiva mpaka ndani
aih…siezi kula nyama bila mfupa… ile mfupa uwa na mafuta ingine hapo ndani katikati… inaitwanga aje? iyo kitu? ukinyonya ndani ulambe lambe iyo mafuta soft hapo ndani mu u-feel nikama napea nyama C.J…uuwa tamu 2 saana… hehehehh!! am i a perv?
Eih Na una manjaa aje? Akuna ata ka-glass ya maji apo incase unyongwe na sembe ama uwashwe na pilipili?
Hehehe Iyo kibuyu ya “tour de france” (white one ) imejaa maji. Inakuwanga juu ya meza yangu 24/7
Si utafute bibi, hii mambo ya mwanaume kutoka kuwatch ball alafu aende home kujipikia haileti shangwe.
Mbona manki kwani wewe ni vegeterian?
Wachana na mahaters eti ugali kukata,that’s a non issue by the way I really doubt kama kuna homestead hawakatakati ugali due to minimize wastage. Nice food though.
Ugali ni kuchuna alafu kufinya finya ,alafu kidole cha gumba kinaweka crater kwa ugali ,mbicha sina.
Umeniweka njaa asubuhi. Inakaa tamu sana
Watu wengine hapa unaezadhani hukula farasi SMH
nimekubali wewe ni manki
vile mathichwo amesema…
if you can afford that you can also afford a wife
this guy is always cooking this and that,hata machef huowa
Some people are petty. The guy hasn’t complained about cooking;he enjoys his cooking by the look of it and some are just yapping around about getting married. It’s his life. He’s fine with it. Nyinyi na mabibi zenu achaneni na @Mkufuu
you got it wrong swiry,this guy is the one who is petty.
anaringa na amenyang’anya dem mmoja job hapa.
huyo unapata ni senior bachelor of kindu retirement age
Nice meal @Mkufuu. Huku ‘ma-hater’
ndio wengi naona.
Hapo sasa boss! Karibu ufanye demonstration. Mimi nakata ugali hivi ndio kesho nipate psyke ya kuikula tena. But nakubaliana nawe.