Wadau nilikuwa nna swali kidogo hivi huku KenyaTalk hakuna jukwaa letu pendwa kama kule JF japo tukasafishe macho vizuri
Huku hawana huo ujinga
Wanatunyima raha hawa
naskia lipo pm @The Tweet akupe access
Niliona mkei mmoja analiomba kule kwenye maoni
Poa
Hmm!.. :oops::oops::oops:
Nimeshindwa kuaccess hiyo link
ibilisi
Hili muhimu sana asee
Huku wote bi villagers bado hawajafika mjini
:p:p:p:p:p:p:p:p
Ila hilo jukwaa hata kule JF sijawahi kufikiria kuomba kuingia.
Ila niligundua moja tu kama uko kwenye Jukwaa la Dini basi Jukwa la wakubwa hawakupi access, vivyo hivyo na kama uko kwenye Jukwaa la Wakubwa hawakupi access la Jukwaa la dini.
Sijawahi fikiria kuingia uko,nahisi dhambi
kusafisha macho ndio aje ivo
Kumbe ndio maana!
Kusisimua mpigo wa damu mwilini, moja ya benefits zake huwa uwezo wa macho kuona vyema huongezeka
@The Tweet nipe idhini ya kuosha macho, hii link imebanwa kwa wengine
aiseeee