Hi,
Yani mabinti wakali balaa…kama kina @Demiss @Mzigua90
Yani mimi mwenyewe mkaree…njoo kwa @innaa yani mtoto mzurii.
Ongezea unaowajua…
Hi,
Yani mabinti wakali balaa…kama kina @Demiss @Mzigua90
Yani mimi mwenyewe mkaree…njoo kwa @innaa yani mtoto mzurii.
Ongezea unaowajua…
@Shunie @Sakayo @Raynavero @Dinazarde nao wakalii
Nasubiri vidume vya JF vije kutoa udenda hapa
Abeeeeh asante Mungu na hizi sura za baba leo tunasifiwa
Eeeh bwana. Huoni mwenyewe na sura ya anko wangu nimeingia kwa list
Ha ha haaa…
Wewe unavyoandika tu unaonekana mcute
Uzi bila picha ni kama kuangalia porn bila sauti
Ha ha haa…
Jidanganye siku unione useme na mi mbovu
Mi natabiri…umekamilika kila idara
Haya jidanganye tu
Kweli mkuu jamani asante kwa kutuona kwa jicho la pili
Hahhahaha
hahahaaa Doncute id ya kule kwetu ni ipi acha hii ya ukimbizini
Hahaha
Hahahaha sio kwa promo hilo aki! Halafu watu wakuje na ID za zamani bwana
Shost kumbe wewe mwanakijiji?
Kipenzi ninakukubali sanaa, huyu aliyefungua uzi atakuwa anakufahamu.
habari za siku, lini tena pale kruizi???