End month manenos

Abdul ametoa kakitu. Am liquor store bound. Hata mimi wacha nijaribu kufloss kama ule fala wa Gilbeys na sijasema ni mBukusu wa Sangara
[ATTACH=full]60304[/ATTACH]

Man 100AED since ni kidogo sana?
2k man:D

That’s 2,750 Kshs.
I love your handwriting.

:D:D:D:D

gay

Unalipwa na cash? Peasantry!

2750 ndio mshahara??

Hizo noti ni mzee na zimekunjwa ni kama zimetolewa kwa anguola ya shosh. (uliza @introvert anguola ni nini)

27500,

Enda urudishiwe tuition fee

:D:D:D

Tulia. Class ilijaa akaamua asomee kwa dirisha

Peasant

Kanono hapa unarushiwa mtama

Stop hating @ kush jibambe kabisa

You should see mine

Wekelea hapa

Hehehee. Tunono wawili hawezi ambatana

Nitaweka siku moja

What of mine?:D:D:D
[ATTACH=full]60375[/ATTACH]