Kiukweli tokea nijiunge na hii forum baada ya jf yetu kufanyiwa utorokongo, ufinyembe na ukiritimba unaokera hata watoto waliopo tumboni…!
Lakini naona uvivu sana kuingia kwenye hii forum sababu tu hawana App…
Hivyo tunawaomba uongozi uliangalie hili maana litawaongezea fans wengi zaidi…!
Shunie
June 16, 2018, 1:55pm
2
Sio ww tu mkuu mm pia mmojawapo nasikia uvivu uvivu yaani watuwekee tu app jamani
Sijuti
June 16, 2018, 2:00pm
5
Shunie:
Nikuzawadie nini
Uwepo wako usiku wa manane
Shunie
June 16, 2018, 2:06pm
6
Mm sio mali ya uma mkuu anayenikula ni mmoja na anatosha sana
Shunie
June 16, 2018, 2:15pm
8
Mwifwa:
Hahahahahahaaaaaa
Umefurahi shemeji yangu nimekuletea mbebez wako umemuona
Mwifwa
June 16, 2018, 3:05pm
9
Nimemuaona
Nishampa taarifa toka siku nyingi ila alikuwa anaogopa tu kuingia huku
nic91
June 16, 2018, 4:04pm
11
Tatigha:
Kiukweli tokea nijiunge na hii forum baada ya jf yetu kufanyiwa utorokongo, ufinyembe na ukiritimba unaokera hata watoto waliopo tumboni…!
Lakini naona uvivu sana kuingia kwenye hii forum sababu tu hawana App…
Hivyo tunawaomba uongozi uliangalie hili maana litawaongezea fans wengi zaidi…!
umenena mkuu, maana kuingia humu inatia uvivu wadevelop application iwe rahisi zaidi
Halafu hii kitu km JF ya 2008/9 huko dah,wajiongeze kdg ,nilijua wa Kenya wajanja ktk makitu haya kumbe JF iliwaacha mbali sana
Ha
Hahaha aisee jf raha sana
Shunie:
Sanaaa mkuu
Naona umempa Jibu mubashara Utadhani una dictionaries kichwani hahaha
Shunie
June 16, 2018, 8:15pm
16
Hahaha mkuu watu wengine wanastahili tu kujibiwa hivyo mtu anakuchukulia kama malaya tu anataka eti akukule si akanunue barabarani uko
Sijuti
June 17, 2018, 7:31am
20
Sijataja kula sehemu yoyote, nimesema uwepo wako.