Wapi ametaka kukula?
Site yao ya enzi ya jambo furums.
Ila ngoja tuzoee tu.
Nawe umeliona hili eeh,yaani nilipoingia nikajiona nimerudi Jambo forums dah,JF tutaimiss sana ilikua bora mno
Jf ilikuwa imewaacha mbali sana
Kuna kitu nimekiona kinaitwa BF ,bongoforums maudhui km ya JF
application ni muhmu mpaka sasa napata uvivu kuingia tu
Shunie kumbe na ww upo…mie mpwa wako, Kheri.
K
Kabisa Nadhani hatorudia
kule JF. hapa im very humble…ila achana na Mshana JR, mme wa mtu yule
Download tapatalk app,then tafuta kenyatalk ndani yake…utaipata kwa mfumo wa app…