Asante kwa kuja hapa mbio, Msedes aliharibikia Regen karibu na asubuhi nikamuacha Mutheu na @Makonika nikakimbiria spares Kirinyaga Rd, sasa wadau nawauliseko, Gari za Gitaru hupandiwa wapiste?
sandeni sana na mungu awabarik
[ATTACH=full]245389[/ATTACH]
[ATTACH=full]245390[/ATTACH]
Leta news za accident involving turela na North rift shuttle at luwandeti, usisahau mbica.
8 people dead following tragic road accident involving a truck, 14-seater matatu and motorbike at Lwandeti along Eldoret - Malaba highway in Kakamega county.
[ATTACH=full]245392[/ATTACH]
[ATTACH=full]245393[/ATTACH]
[ATTACH=full]245394[/ATTACH]
Chukua za kikuyu hapo Tom Mboya opp tuskys
sande sana, Jiji narijua na landmark buildings sio na streets, niambie Afya center, Archives, Hilton, Fire station, Odeon, Nyayo hse, Railways etc
Mwenzenu aliuliwa na nani A109?
kunguru ilimuwekea mchele overdose.
MHSRIP
if he had a turnboy hii haingefanyika.
that debate has been reignited
enda ukapande 105 hapo karibu na afya center ama upande 135 za limuru ufike kesho juu ya kusimama simama
sande sana musubcounty, nikifunga hii fan nasimamia ndunyu nikure pork na mutura, usikae mbali mdau
Terrible
huwa nashuku wewe ni kamagira huwa unazunguka na recovery pick up
hehe,
shhhhhhh
tigira hau
panda super metro
stage ndio hajui ngombe hii
Shenji hakuna 105 afya centre.Stage za 105 ziko along Tom Mboya Street between odeon and junction ya Accra road and Tom Mboya / Mr Price/Archives
ziko,metro shuttle,lakini labda ni stage ya masaa ya jioni na kama hata haziko ,i don’t care,mimi nairobi huwa siendi sana kama sina biashara huko
sasa umenichanganya Nderi wewe, hii mzigo ni nzito
135 ama 115?
Sawa , sema umezoea kubebwa na pickup ya nyama and you only know pahali mmefika SAA zile mshapita since wewe hubebwa huko nyuma .:D:D:D:D:D:D
make up your mind guys,
kari kii
ama nichukue uber