WSR....and Hague....

ICC says WSR and Sang MUST be physically present on April 5th when sijui their no case to answer case is going on.

CIC anasema hatakuwa area from 4th to 7th…na anaona Kama after 7th anaweza pitia hood za Jay Na Blaze awangotee kiasi huko.

CIC will have to cancel the trip

Me thinks huyu sang ndio atakuwa sacrificial lamb, wsr will walk

Hapa utabidi Justin Muturi avae hiyo cic sword as the third in line

Pia mimi naonelea hivo

CIC anaweza washia RAO kidogo.
Hata Mandela kuna time aliwashia Buthelezi Mongosuthu.

ICC itabidi Ku reschedule. Na ikisema another date…CIC anakimbia UG au TZ.

muturi akipewa si cord itakuwa overdrive kuzusha. ni wapee tu Rao hizo siku ashikilie

Huo mji wa huko Uholanzi unaitwa THE Hague. Sijui kwanini watu huuita Hague, Heg na majina mengine yakutisha.

Hehehe. Huyo akipewa hawezi rudisha

he has been excused…

aachiwe tu na mdomo asipewe instruments of power

Aiih huyo fisi ni power hungry sana akipewa kurudisha ni war.

We call it the way we want. Kwani ne nene, ara?

I am just saying.

Can I call you dumb-arse?:smiley:

You can call me whatever you want, son.

But it won’t add a morsel of pussy into your soup…

#FerkMeria

All that senility can bring to your foggy mind is pussy?

Akiingia serikalini alijua ana kesi. Asitusumbue.

hehehe…
we dont want a war with UG yet.
baba the first thing atasema ni the rocky wasteland iko kenya

mi huimagine kuna venye Muturi ako line-up ya cic I shiver right down to me bolls. Githu Circumlocutious Muigai, yes