[ATTACH=full]175778[/ATTACH]Nyie ndugu zetu wabongo mna mambo kweli, nimecheka sana nilipo ona barua hili(naelewa ni jokes) Karibuni Kenya
Hii imekaa vizuri,hapo ndipo mama naye atakapopata nafasi ya kufanya yake in your absenceā¦
Haaaaahaaaaa
Heheh!!