@admin nini mbaya na kijiji? Avatar zimemalysia wapi? Na hizo Google adverts utoe bana. Sitaki kununua mchele banae
[ATTACH=full]294528[/ATTACH]
@admin nini mbaya na kijiji? Avatar zimemalysia wapi? Na hizo Google adverts utoe bana. Sitaki kununua mchele banae
[ATTACH=full]294528[/ATTACH]
Niaje dereva??
Usiniite dereve bana. Hii covid-19 imeniharibia form niaje.
@Tallman is @tall mnyama everywhere
Ayayayaya lakini usjali lamdlord akikuja kaa ngumu usimpe mashillingi
:D:D landlord ama caretaker…nimeongea na @under23 nikamshow asinifungie nyumba bana
Mimi bana nimetoka kwa nyumba jana nikaenda kubugia pombe kwa bar ingine inafungua chini ya maji. Ubaya nilikunywa haraka sana mpaka pombe ikaniharibikia.