What Comes To Your Mind When You See This?

[ATTACH=full]384705[/ATTACH]

Don’t ever touch it …its bad

Vices, and never trust a person without one.

Sijui kwanini Daddy huwa hataki nionje hii soda yake.

Why does it look kama ametembelea singo matha flani? Huko ndio pombe na ngono huwa hazifichwi without caring kama kuna mtoto.

Mtoi wa singo matha

Clearly not his child. Huyo ni mtoi wa muethiopia au mzungu. From the furniture and fine white dust on the sofa chair kunakaa coast, probably one of those mtwapa women that give birth with old white dudes

Sithani kuna mwanaume wa skuizi aneza kubali sofa itandikwe na uto tu vitambaa!
Si kwake uyu

Huyo mtoi anakaa kufikiria hii ghaseer inakam kukunywa soda ya watu wazima huku kwetu si irudi ikunywie kwao

Mwanaume bwege mwenye hana maarifa, anafikiria io njia anakanyaga ni mzuri kumbe yampeleka pabaya

Lete hekaya wacha kupitia mbali.

I see @Mangele struggling with hard questions about that little person, as the kid wonders what’s in his glass.

Nyumba inakaa mzuri lakini bona anunue TV ya Ramco? Makes everything else look cheap

Wacha nifunge macho nione kama kataonja. Matching shorts, thats his baby girl.

MWANAUME MZIMA UNAKUNYWA POMBE YA WAMAMA WINE AJE

Teefee ya ramco iko wapi msee? Kwani Niko na picha tofautio_O

Pole I meant Armco…sikuwa nimesoma brand name vizuri

Wapi teefee man!?

PNC

Wacha zako elder. Ama umefungua picha na kabambe