kwani nyie ,Hamna hekaya za uswahilini…
Thread mingi leo nimeona ni zao.Soon kenyatalk will be taken over by them.
admin has already created for them a sex and relationship category.
ama ziwe ni handles za wakanyama mnaita waswahili,hekaya za abunuwasi hatutaki
[ATTACH=full]175456[/ATTACH]
@admin proof reading muhimu
Meffi wewe
Shida itakuwa kuisoma… It may be a good hekaya if you can hold a kamusi as a side dish.
:D:D:D:D
n
[quote=“Polmos, post:2, topic:163220”]
Thread mingi leo nimeona ni zao.Soon kenyatalk will be taken over by them.
[/QUOTE
Na wewe hutaki iwe hivyo???[/QUOTE]
ambayo tutatumia sisi na wadada wa ki-Kenya
Lol.Wadada wapi?Kenyatalk?Those handles are for men masquerading as women. Utajua hujui.
they can ne’er get the gist around here.I am 110% sure
wamezimiwa jamii so wanakam hivi
Nduka ya ndawa…gari ikaisha mbureki. Ahahaha!
Nawapenda sana wakenya na kiswahili chao kibovu kama utawala wa Rais wetu. You always make me feel like I’m the Shakespeare of kiswahili.
Kenyanzanians. New country.
Admin thank you very much for " Tanzania News and Politics " you real care about us neighbor
Hahahahaaaaaa.
Kiswahili chao kinaburudisha sana
[SIZE=5]tumekuja kuwa fundisha Kiswahili Sanifu. Bila malipo.[/SIZE]
Sawa.Lakini kiswahili sanifu sounds boring.Tunapenda hii simple.