Wageni wetu wapewa viti za kupendeza. Nakumbuka nilifika Tanzania walikuwa wananita “Kiongozi” kila mahali. Wafuasi wangu wakaribishwe vizuri. Wiki 2 zitazofuata ntakuwa kiongozi wenu halali mwenye kujali maslaha zenu. Ukiona umedhulimiwa kwa njia yoyote usiogope kunijulisha. Alafu mukuwe watu na heshima msije huku kupiga Kelele kuhusu utaratibu unaofaa kufuatwa na wanakijiji ilhali hata siku hamajamaliza huku. Ni hayo tu karibuni.
Kiongozi wenu
MadPhilosopher
[ATTACH=full]175284[/ATTACH]
Polmos
June 11, 2018, 8:10pm
3
Kemodaa:
Asantee sana mkuu
Hii mkuu inamaanisha nini mnashinda mkiropoka?
Wageni wetu wapewa viti za kupendeza. Nakumbuka nilifika Tanzania walikuwa wananita “Kiongozi” kila mahali. Wafuasi wangu wakaribishwe vizuri. Wiki 2 zitazofuata ntakuwa kiongozi wenu halali mwenye kujali maslaha zenu. Ukiona umedhulimiwa kwa njia yoyote usiogope kunijulisha. Alafu mukuwe watu na heshima msije huku kupiga Kelele kuhusu utaratibu unaofaa kufuatwa na wanakijiji ilhali hata siku hamajamaliza huku. Ni hayo tu karibuni.
Kiongozi wenu
MadPhilosopher
[ATTACH=full]175284[/ATTACH]
Hun Ata wewe una huu upuss??
Polmos
June 11, 2018, 8:12pm
5
:D.Sijui watu wameambukizwa ugonjwa gani leo?
Unakuwaga ni mpumbaf kiasi gan wew? Unakuwa kama ng’obe
Wamekuja na virusi vya swahili:D
Nipo na dj afro hapa tunakula miraa
Polmos
June 11, 2018, 8:25pm
10
Mpumbafu,ngombe ni wewe.Takataka hii.Rudi mahali ulitoka.Jinga.
Sweetheart am just ensuring my message gets across well
123tokambio:
Imerekebishwa
Kind of sounds bad when you put it that way Mbwa :D:D
:D:D:DKiswahili kitukuzwe…
gikuyu
June 11, 2018, 9:48pm
15
Niaje mrembo…si u relax the stance kiasi ata nikupeleke lunch this week
Polmos
June 11, 2018, 9:50pm
17
Alikuambia akulangi lunch?Hii mambo mimi ndio niushughulikia.Ebu jipe shughuli.
ahsante sana Mkuu tumefika
gus
June 11, 2018, 11:31pm
19
yaani the kenyans NV tunapewa viti na hii watu inawachwa tu bila kiti …waiguru nyinyi