[ATTACH=full]179811[/ATTACH]
Ushetani tu hakuna kingine…
Duu nyie jamaa ni noumaaa. Haaaahaa ETI MAMA YENU.
Kuna tatizo?
[ATTACH=full]180292[/ATTACH][ATTACH=full]180293[/ATTACH][ATTACH=full]180294[/ATTACH]
Amina
Ubarikiwe
Ha
Hapana bibie, hakuna tatizo. Nina furahi tuu.
[SIZE=6]tangu niachane na ukafiri mwaka 2012 sina hamu kabisa na habari za kuabudu masanamu. [/SIZE]
Pole yako kama uliwahi kuabudu sanamu. Sisi Wakristo Wakatoliki humwabudu Mungu katika roho na kweli.
[SIZE=6]hayo ma sanamu mnayo ning’inizaga shingoni ya kazi gani. Mengine mnayabandika mbele ya Altare madhabahuni.[/SIZE]
Vile ni vielelezo tu juu ya kile tunachokiamini na hatuziabudu kamwe.
Kwenye ibada zetu humtaja Mungu muumba wa vyote, Yesu Kristo Mwanae wa pekee Pamoja na waja wake wema.
:(;)
What I need to know,who was queen of heaven according to old testament?
Is Queen of heaven,Mary the mother of Jesus?