Hatukatai kiswahili chenu sanifu kabisa. Cheupe kama sodo kabla itumike. Tuko pamoja. Basi kama wa kenya tunawaomba msiangalie udhaifu wetu katika hii lugha na kutukumbusha kila wakati.
Nawaomba tufurahie katika diversity yetu na tuwe na amani. Apan kuja ambia sisi vile mtafunza kiswahili.
Ama namna gani my frens.
sawa tumeelewa…sisi apana kosoa nyie tena
Shukran kaka. bora tuanelewana hii ingine haifai
Kua mpole ujifunze…
Cc: @Mahondaw
Poa mkuu
Sawa mkuu tupo pamoja
Hii ni gibberish aisee
Hahahaaa. Ahsanteni Village Elders . Teh teh.
Hahaha!! Huu sasa ni uchokozi mdogo mdogo
Hahahaa. Lol. Ama kweli jirani una nia ya kujifunza Aisee.
“Mwendo ni aste aste” Hahahaaaa. neno lako la jana hili uliandika sehemu @A.G. nina imani tutakwenda sawa tu jirani
Hahahaaa. Sio Mkubwa mkubwa eeeee.
Ila sio uongo bana rafiki.
Nikweli rafiki lakini siunajua ukweli unauma
Hahaaaa. Nimejikuta nawaza mkikifaulu hicho cheo sijui mtaitwaje sasa huko mbeleni.
Sidhani kama sio Wajumbe wa nyumba kumi kumi. (ndukiiiiii)
Hahahahaaaa. Duuh.
Heheeh!! Umewaza mbali kweli jaman ila ata mimi sijui na safari bado ni ndefu adi kuvuka huu mto…
Hahaha!! Wanakunyima emoj yako pendwa ya kukimbia eti ndukii
Pole Pole tu. haha
Hahahaaa. Nina imani mtauvuka tu bana.
Emoj ni changamoto rafiki.
Hahaa. Haswaaaaaaa.
Imekuaje kwenye hii safari ya kuvuka na wewe umejitoa?
Sawa mkuu…githeri napata wapi??
Hahahaah ila humu kuna mambo,jana kuna mtu kakerwa na startimes kaja na mahasira yake uzi wa world cup na kusema anaenda malizia hasira kwa kuwachokoza wakenya hahahaha @Hajar