Mjadala kati ya New Villagers, Villagers, Senior Villagers na Villagers Elders ndani ya Jamii Forums ukimbizini unaendelea…
[ATTACH=full]176350[/ATTACH]
Mjadala kati ya New Villagers, Villagers, Senior Villagers na Villagers Elders ndani ya Jamii Forums ukimbizini unaendelea…
[ATTACH=full]176350[/ATTACH]
Namuona mwifwa amevaa shati la wanakwaya…
Hahaaa…na mi nimejiona hapo
Hahahahaaaaa! Mwifwa unaitwa huku…
Kumbee tupo wakimbizi wengieee
Hahahahha
Hili ni baraza la village limekaa linataka kuwapiga wale wanne pale BAN
Haaaahaaaa. Mimi Mwenyewe yuleeeeeeeee.
Duuuh, Wakimbizi wapole hatujui tufanye nini
Huhuh! Mimi nimeshawasili
Mie nshajongea pia. Ila natumai nyie Ma Village Elders ndio muwe wazungumzaji wakuu. Hahahaaaaa.
CC. @Davet
Ila mleta uzi hujafanya fair aiseee. Kulikoni sisi Ke hujatuchukua kwenye hako kapicha.
Naona karibia wote ni Me. Hahahaaaa.
Umeona ee ndo maana tumejialika wenyewe,picha ya pili hope tutakuwepo
Nimemuona na mie aiseee. Ila una macho bana Mkuu.
@Davet naye ana kashati keusi sijui kama umemuona ( ndukiiiii)
Hahahaaa. Kweli kabisa rafiki.
Sie tupo huku nyuma ya mpiga picha. Hahahaaaa.
Hahah!! Mchokozi sana wewe
Ngoja nijione
Dah hatar sana
Hahahaaa. Lol.
Nimefanyaje sa mie rafiki?