Uzi maalumu wa kutafuta beb wa JF

Kikubwa ni kuwa na jamani ya moyo basiiii Mungu azidi kukutia nguvu

Ni kweli sema kuna vitu nikikumbuka nahisi kuumia tu like i wish ningetambua before kwamba hili litakuja nisingepoteza muda wangu kabisa sema ndio Mungu kaeeka pazia hatyjui yajayo nashukuru kwa kweli napumua naishi kwa amani sina chuki wala hasira moyon mwangu

Daah nimejisikia vibaya sana yani

Na hapo sjakwambia had tumefikia hapo, ndio hivo naweza sema sio riziki kabisa, nakumbuka nilitakiwa kufanya interview mahali then hiyo siku tuligombana bas nikaona isiwe shida japo yeye amenikosea nikaomba msamaha the whole night naomba tu had kunakucha had niko njiani naelekea naomba tu shunie nikawaomba marafiki zangu maybe waseme naye tuyamalize et ni ushamba kufanya hivo Aisee ni mengi mengi mabaya japo nakubali mm hua nikiwa na hasira siwez lala had tuyaongee tuyamalize vile akikataa bas ndio hua naongea tu lakini ndio hivo hata uwe mwema vipi huwez kua sahihi kwa mtu ambae hajaona usahihi wako

Tatizo kubwa la mwanaume wa kiswahili akijua tu unampenda jamani jamani siku umkoseee utaona rangi zote ila Mungu kaumba kusahau badae unajiuliza hivi pale nilikuwa nafanyaje

Ni ujinga tu mbona wapo wanaume wanajua kusimamia majukum yao? Wanajua wanapaswa kufanya nn mwa wapenzi wao? Hajataka mwanzo nakumbuka niliona duniani tuko sisi tu na vole kuhusu dini tulikua tofaut nikasema nitabadili sababu he was my happiness sikuona shida na sikujal jinsi familia yangu itareact na nikawa namwambia tegemea yote me nakubali kukufata wewe lakini ya wapi mashi?? Kinqchoniuma zaidi n gharama zangu tu nilizokua natumia nahisi ningewekeza ningekua mbali shida tu n was blinded na mapenzi yake halaf wengine anawaambia i love her sjui nn nabaki najiuliza how?? Wakat actions hazimatch maneno yake umenikumbusha mbali sana sana shunie ni aibu mengine kuyasema wacha tufe nayo tu ila naamini ipo siku ataona umuhim wangu na atagundua my love for him were real sokua nafake

Naona watu wanatafuta michepuko

@Mzigua90 kama tulifyoongea mkuu nakucha darsalama kwa hajili yako.tunakalimbia kufuna huku samba

Hiyo lugha gani mkuu?

Ni kisukuma mkuu nilikua naongea na kutype.

Aiseee
Pole my dear mpaka ulikubali kubadili dini yaani nasikia unavyojisikia ipo siku atakumbuka umuhimu wako ulikuwa unajitoa mnooo masikini ila wanaume hawa siku ya kiama unatamani uwadumbukize tu motoni yaan mtu haoni umuhimu wako haoni vile unajitoa kwa ajiri yake pole mamy pole mnooo Mungi azidi tu kukufanyie wepesi na akuletee mwanaume wa kufanana na wewe akupende kama unavyompenda

Haha nini kubadili dini yan hata mavazi alikua ananitoa kule sema na mie vile najifanya najua kupenda nafata tu i never tasted any alochol nakwambia any hata zile wine sijawah ndio nilikua process za mwisho kunyweshwa st anna loh Mungu ni mwema nishapoa na kuzoea naona kawaida kabisa, kuna mada kule jf nilikua nachangia kwa uchungu sana wachache ndio walikua wanajua nn kinaendelea

Kikubwa nimejifunza vingi sana yan nina mengi ila sio vizur kutoleana aibu saa hizi ngoja tustahiane

Haaahhahah Madame umenichekesha nooo kwahiyo juba lilishatolewa na pombe ulikuwa unataka kuanzishwa mama angu pole sana yaan pole jamani saa nyingine Mungu ana maksudi yake hujui nn amekuepusha my dia daaah mpaka huruma pole babe

We acha unajua me nishazoea kuvaa madira magaun au vijora sana sana ndio nguo zangu navaa sket wakat mwengine sema s sanasasa akawa ananambia nataka uvae hivi utafte na kikot uvae kwa juu ukivaa why umenunua hiki kikoti vingine hukuona? Sema ulikua na haraka tu ungenunua kariakoo vipo sjui why unapenda viatu vya dukan vya mtumba ndio poa nikivaa kijora ananambia nimevaa pazia hahahahhahahaha mtihan

Hahahahah Madame nisamehe tu kwa kucheka mpenzi wangu unanifurahisha huku havichekeshi yote tisa kumi la kubadili dini hiko kitu kimenishinda na tuachane tu lakini uliamua tu masikini kujitoa muhanga hata kama ungetengwa ila mshkaji wangu hawezi pata mwanamke atakayempenda kama wewe na kukukumbuka atakukumbuka sana tu

Nanamuombea asipate wa kumtenda apate mwema ampende asione uchungu wa mapenzi

Kwenye dini alinambia usikubali kubadili dini kisa mwanaume baki na dini yako nikamwambia nikibak hivo sisi tutaishije tutakuja kukaa vipi na future yetu akasema usibadili dini na usikubali mtu akubadili dini nikajifeel vibaya nikaachana nayo

Ndio changamoto nimezipokea na kujifunza zaidi yana kama kufumba na kufumbua macho, ilikua n hella ride, driving the edge of a knife

Pole sana mamy ila swala la dini baki na dini yako my dia ipo siku tu atakayoona umuhimu wako Mungu azidi tu kutupa maisha marefu utaniambia shunie mshkaji wako ananisumbua

Hahahahaha sidhani kama itakua hivo sidhan kabisa kama atakuja kunisumbua mana kuna vitu pia nasubiri kama vikitimia itanibidi nichange line pia so sidhankama itatokea hiyo
Kuhusu din
i hilo nimejifunza na s hilo tu vingi sana haya archduke wa jf sio bebe wangu yule hata pm hajawah kuja me pia sjawah kufika kwake ilitokea tu ikawa vile nothing really

wemgine hatuna