Patanoga tu, mwanzo ni mgumu
ila mgongo wako unahamasisha sana
ila ile ilikuwa simple sana hakuna kama jf miaka 1000
Hapa wakituwekea App mambo yatanoga sana
kama ile app ya jf nini
Vyovyote tu itakavyokuwa, kikubwa iwe tu App
Uwiiii tuhamie zetu kwa wahutuuu
Balaaaaa
au sio mamy…ila yule wa kule akirudi si utazuka ugomvi juu yangu na yake tukikugombe…
Matumizi ya web yako vizuri?
halafu wewe!!! mbona hujibu PM zangu?
Kwa bahati mbaya sikuwa na mawasiliano na WanaJF.Jitahidini kuwaita Wakuu wengine aisee.
Hahahaha tabia hazifichiki mkuu
Ngoja nikawaite kina Shunie
kamati ya roho mbaya
Sawa waite wote ulio na mawasiliano nao huko nje
Haya, mje sasa na ID zenu za kule JF ili mambo yawe murua zaidi
Yaani natamani watu wote wa JF tuhamie huku. Ita wote na wewe basi
ndo tumewasili mkuu. Taarifa za kuja huku nilizipata asubuhi ya leo