Mimi nipo na wengine wanakuja
Woyooo woyooo woyooo
Woyooo woyooo woyooo
MUPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Tupo mkuu.
naona majukwaa yamepoooza… ila dah jf tutaienzi sana…
Kabla mume yangu haijakuja huku eeeh
Iko mapenzi shata shata huku
Nina arostoooooo mwenzenu
Ni mimi arosto ya Jf haijaniacha salama nataka kuleta mahaba yangu kenya talk
Aiseee arostooo siyo kidogooo
WAKENYA makatili sana mamy…labda tuwe wakimbizi kisha tupendane mimi na wewe…in JPM voice:D:D:D:D:D
Jaman mwifwa nipe namba ya mr miller mwenzenu namtafuta
Mwambie ajiunge basi
Kabla mchawi hajaja tupendane tubebishhane hakuna namna jiwe keshaamu
Is
Nilikuwa na namba za watu wachache sana, sasa nimeanza kujilaumu sana maana ningewaalika waje wajiunge hapa, kwa wale ulio na namba zao waambie wajiunge
Nitamwambiaa usjali
nakondajee hata kucomment huku bado hapanogi
Sawa