Naomba kujua procedures za kufuata ili kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi (Importation). Nimesajili company tayari, bidhaa zangu nyingi nategemea kununua kutoka nje ya nchi hasa SA, China na nchi nyingine. Naomba kujua A,B,C’s za kufuata…natakiwa kuwa na nini na mahitaji hayo nayapata wapi.
Unataka kuagiza nini? Nadhani kila bidhaa zina taratibu sake hapo Tanzania, mfano bidhaa za matumizi ya binadamu kama chakula,mafuta ,dawa na vifaa tiba lazima usajili TFDA kwanza. Utapeleka sample zikiwa na documents au vyeti vya usajili toka kwao ili TFDA wapime kisha watakupa cheti cha usajili wa bidhaa yako.Baada ya hapo unawe kuleta mzigo.
Watanzania wengi hatupendi kupeana michongo ya bihashara, hata apa kariakoo, ukimuulizia MTU ishu ya bihashara lazima udhurumiwe. Hakuna agents wa kueleweka apa Tanzania wengi wapo kiwiziwizi tuu na kutapeli,
Labda kwa wenzetu Wa mataifa yaliyoendelea
HILI SWALI BILA SHAKA LIMEMLENGA MFANYA BIASHARA TENA MKUBWA(JUMLA/AGENT) AMBAO WAKO BIZE SIZAN KAMA WAKO HUKU KUKUJIBIA KIUFASAHA…MIMI NIKUTAKIE TU KILA LA KHERI NAMI NI MHANGA WA ILO TATIZO WABONGO KUPEANA MCHONGO YAN NDIO TUMESHINDWAGA HAPO
Sio sema unataka kuingiza Nini ili upewe elimu nzima maana kila bidhaa INA utaratibu wake kuna bidhaa zenye kuhitaji leseni na zenye uhitaji vibali na document