Usiku Sacco

Hii baridi ya kulala solo! Anyhu tieni sahihi, napita tu, wakung’orota mng’orote na adabu , wakuachilie mahewa muende mlale nje, Wa mastory, fuataneni na Wa mahewa, wakusleep talk, kama hutupatii hekaya interesting, shut up…
Tulaleni
Goodnight

2 Likes

Good night

1 Like

Ni nini mbaya na wewe madam…usiku sacco has no goodnight kwa constitution yake. And you can not dictate what we going to do.

REGISTER MARKED

5 Likes

I am missing my sweetie kwa hivyo niwachwe nimmiss na amani

12:02 AM…very busy nikinukisha kitunguu…hadi asubuhi. Laleni

Night night…all

Night night…all

I have nothing against your ‘missment’ tings. Infact ndo ingekufanya usilale. Lakini look at buggers following ya lead…what sort of usku sacco are running? @Fala 12

1 Like

Damn ear itch and there is not a single cotton bud in the entire house…

3 Likes

Enda kwa neiba akuulize unataka nini thru the keyhole. Mvua imeisha Nyiri?

He he…umekumbuka hiyo story? Ilikuwa mingi nikitoka Jana asubuhi. Saa hii Niko Embu. Memsahib ndio alisahau kununua na miti ya kiberiti haisaidii wacha nitafute turungi jikoni nione kama itasaidia…

Ati true tea tena. I hope ni ua kukunywa?

We can probably drill crude oil from those big old ears. Think positively:D:D

6 Likes

si ndio…ulifikiria ni ya kuweka maskio na si inzi niko nayo…:D:D:D:D:D

maybe wax mtengenezee rangi ya fiatu kama nta ya canouba…:slight_smile:

3 Likes

@MrsL, Chunga wale wame zoea sleep walking

2 Likes

Hehehe.
Tigagai wanna

2 Likes

Hehehe.
Hukutumia kifuniko ya biro?

:D:D
Mutura Ndom wacha machieso.

Hii itabidi sketch.

2 Likes

wee wacha hizo osiepna…

2 Likes

Too late my fren. The drones have been dispatched.
Wacha @uwesmake pia acheke kidogo…

1 Like

Hehehe ati mutura ndom (hihihihihihi:D:p) unapiga kaka yangu sweep usiku Wa masita?

4 Likes