Hii baridi ya kulala solo! Anyhu tieni sahihi, napita tu, wakung’orota mng’orote na adabu , wakuachilie mahewa muende mlale nje, Wa mastory, fuataneni na Wa mahewa, wakusleep talk, kama hutupatii hekaya interesting, shut up…
Tulaleni
Goodnight
Good night
Ni nini mbaya na wewe madam…usiku sacco has no goodnight kwa constitution yake. And you can not dictate what we going to do.
REGISTER MARKED
I am missing my sweetie kwa hivyo niwachwe nimmiss na amani
12:02 AM…very busy nikinukisha kitunguu…hadi asubuhi. Laleni
Night night…all
Night night…all
I have nothing against your ‘missment’ tings. Infact ndo ingekufanya usilale. Lakini look at buggers following ya lead…what sort of usku sacco are running? @Fala 12
Damn ear itch and there is not a single cotton bud in the entire house…
Enda kwa neiba akuulize unataka nini thru the keyhole. Mvua imeisha Nyiri?
He he…umekumbuka hiyo story? Ilikuwa mingi nikitoka Jana asubuhi. Saa hii Niko Embu. Memsahib ndio alisahau kununua na miti ya kiberiti haisaidii wacha nitafute turungi jikoni nione kama itasaidia…
Ati true tea tena. I hope ni ua kukunywa?
We can probably drill crude oil from those big old ears. Think positively:D:D
si ndio…ulifikiria ni ya kuweka maskio na si inzi niko nayo…:D:D:D:D:D
maybe wax mtengenezee rangi ya fiatu kama nta ya canouba…
@MrsL, Chunga wale wame zoea sleep walking
Hehehe.
Tigagai wanna
Hehehe.
Hukutumia kifuniko ya biro?
:D:D
Mutura Ndom wacha machieso.
Hii itabidi sketch.
wee wacha hizo osiepna…
Too late my fren. The drones have been dispatched.
Wacha @uwesmake pia acheke kidogo…
Hehehe ati mutura ndom (hihihihihihi:D:p) unapiga kaka yangu sweep usiku Wa masita?