Umewaita wangapi huku?

Waiteni waje, hebu tuambie umewaita wangapi na umefanya juhudi ipi? Utamu wa jukwaa unategemea wingi wetu.

Mshana Jr chombo chake Itakua kimepata panja

Watajaa tu mkuu mambo ni taratibu

Mshana,bujibuji wamekosa passport soon watakuja

Uongo mbaya sijaita mtu kwa sababu kule sijawahi kufahamiana na mtu yoyote wala kubadilishana details.

Insta kule nimeita watu

Kufika huku nako ni issue, mie nimefika kimiujiza tu na umebidi nitumie ID mpya

Cc,mshanajr

Nisha waita wawili.hadohado hulugendo.kama wakenya mtuvumilie tuu,kwa lugha mama zetu

Nimeita kule Twitter na kwa mawasiliano ya WhatsApp

Nadhani wiki Hii list Itakua kubwa maana hapa tunahesabika