Nimekukumbuka sana Kipenzi changu. Popote pale ulipo nakukaribisha ukimbizi huku. Karibu tujifiche ili tuweze kuteta kidogo kipenzi changu cha dhahabu.@Cole Williams
Nimekumbuka tabasamu lako na mandishi yako yaliyojaa busara, hekima na upendo wa hali ya juu.
Your lovely Wife @Swewtlee
Hahaaa cole kakumbwa na dhahama ya tisiaraei.
Ngoja nikanywe chai kwanza hahaa
Davet
June 21, 2018, 5:58am
4
Woyooooh!!!
Mapenzi yana nguvu kuliko breakdown
Sakayo
June 21, 2018, 6:10am
5
Pole mno… Hebu mtumie link akuje hukuuu!!
Shunie
June 21, 2018, 6:13am
6
Hahahaaha sasa atamtumiaje link lakini angekuwa anajua pa kumpata angemtafuta hivi
Lile ombi langu ndo umegoma kulitekeleza?
Sakayo
June 21, 2018, 6:16am
8
Hahahahahah
Pale bongo movie inapogeuka kweli!! Hii kitu huwa inaumaaaaa
Davet
June 21, 2018, 6:18am
10
Hapana sio hivyo nakumbuka sana sema tatizo ni kwamba vyanzo vyake vyote vya mawasiliano havipatikani sasa sijui anashida gani?
Shunie
June 21, 2018, 6:19am
11
carbamazepine:
Hahaaaaa sakayo mkorofi
Yaan sakayo anajifanya kama hajui
Shunie
June 21, 2018, 6:20am
13
Hahahahahaahaha pale unapomiss kubebishwa halafu unajiuliza hivi kwa nn hatujapeana no lakini tulikuwa tunaishia jukwaani
Hahaaaa inawezekana alikuwa hajaelewa
Maksi afungue jeiefu hata siku moja tu hahaaa
Sakayo
June 21, 2018, 6:22am
16
Hahahahahah
Halafu unajikuta unamiss mbebisho seriously kabisaaa!!? Hahaha haya mambo hapana aiseee!
Davet
June 21, 2018, 6:22am
17
carbamazepine:
doh!
Sawa basi
Sawa vuta subira unafurahia mema ya nchi kama Jokate
Shunie
June 21, 2018, 6:22am
18
Hapana kaelewa ni maksudi yake tu
Sakayo
June 21, 2018, 6:23am
19
Nilijua anammiss kijeifuu
Shunie
June 21, 2018, 6:23am
20
He he naijua hiyo hali mm achana na mbebisho bwana we mwenyewe umemkumbuka bongo movie wako eli