Mods wa hii forum tafadhali mtuwekee app ndo inanoga zaidi. Na kama ipo mniambie pia nitashukuru.
Wasalaam
Mzigua90
Mods wa hii forum tafadhali mtuwekee app ndo inanoga zaidi. Na kama ipo mniambie pia nitashukuru.
Wasalaam
Mzigua90
Yah app inakua rahisi kutumia.
Ngoja tuone kama watatusikiliza. Yani jioni yangu ya leo iko mwanana
@The Tweet lifanyie hili jambo kazi
Jaman jamani mpo wapi
Tuko hapa. Kaite na wengine basii
Wanazingua…wanatunyima tu ulaji sisi developers
kweli kabisa apa mpk nianze kufungua google
Aisee nimewashindwaa…tisha sana!
Inachosha kichizi
hehe mwenza nmekumiss kina shunie wako wap
Wapi saint ivuga jamaniii mwambieni tumehamia huku
yupooo anapajua sanaaa
Mwenza kina Shunie kuna kitu kinawasumbua humu wanashindwa kujoin. Ila anakuja na Geniveros. Sakayo keshafika
Anakujaa
Shunie yake inazingua sijui imekuwaje aki
Sijui ni nini yani. Na Geni nao anapata tatizo kama la Shunie.
Mzigua90 huku Kenya unakaa mitaa gani?? Nataka nikutembelee tupozeane machungu ya kufurumushwa kule kwetu TZ japo kwa usiku mmoja…
Niko Tz yetu mkuu.