Ranking zimeanzwa kushika mwoto. Farasi zimeanza kujitenga kutoka kwa funda:D.
Angaria hapa uone ranking rist: http://www.kenyatalk.com/index.php?xfsoccer/matches/premier-league-2015-2016.10/ranking&matchday=15
Wangoja nini kakabrassa? Wekerea predictions zako hapa ivi:
http://www.kenyatalk.com/index.php?xfsoccer/matches/premier-league-2015-2016.10/bet
@vuja de, @Okiya , @xuma , @kermit , @Mathaais , @scotch , @mariachi , @mutu wa turetio, @WuTang and @kalel wakaaa ndio farasi wanaojitenga kwa hii mbio.
Lakini sisemi hao wengine ni funda…apana.
Like always: GGMU! Ama niaje @spax ?;)
Wikendi njema…
1 Like
Vuja de, okiya, xuma ndio farasi. Nyinyi wengine hapan tambua
Gap ni kidogo. na ligi bado ni mbichi.
Jirani
December 4, 2015, 8:33am
4
Sad to say but Arsenali hatuna bahati…injury list imekuwa ngori…manze ata cazorla ameumia…sasa ni akina nani watacheza game yetu ya nxt?
Pia Assenali husema hivo kila season
Jirani
December 4, 2015, 8:38am
7
Electronics4u:
Napenda sana:D:D
Nime enda Arsenal.com …Good news Koscielny, Gibbs and Walcott wako fit for Satos game
Yenyewe nilikuwa nimechecki hiyo na nika bet mtachapa mtu 2 nil. hata Betway nime bet a win for arsenali.
1 Like
The funda to watch that is soon turning into a competitive Mbarathi is none other than…DRUUUUUUUMS *CYMBAL @Mathaais Constant riser each week… Congrats man.
Thanks chief, but last week was the worst for me since I started.Hope I will have better luck this weekend.
The moment Arsenal tunakuwaga na shida ndo huwa tunawin…
Arsenal win
Liver win
Chelsea win
Man city win
Man u win
Thank me later
manue
December 4, 2015, 1:56pm
12
All big teams are playing champions league nxt week. The best bet for the weekend ni double chance
Gitonga
December 4, 2015, 2:46pm
13
Cech
Bellerin, Mert, Gabriel, Monreal
Flamini, Ramsey
Campbel, Ozil, Chamberlain
Giroud
Subs: Ospina, Chambers, Debuchy, Iwobe, Adelaide
Koscielny and Walcott might be kwa bench for cameos
xuma
December 5, 2015, 8:37am
14
Game imenoga.Tuko December na hapa games huja thick and fast, time ya Arsenal Doctors to be ‘busy’ and reinstate their players in April when the league has disappeared round the corner far from their reach!!
system
December 5, 2015, 8:58am
15
Nimepredict. Spurs nimeweka draw
1 Like
vuja_de
December 5, 2015, 9:43am
16
Tottenham win. Harry Kane atafunga mbili
I’m here with my thanks. niziweke wapi?
1 Like