sijui kama hapa kuna mtu alikua na crush na ka dame high school ile design hata ukiona kakiongea na boy mwingine unaskia kulia. shida ni kama ulikua day school na unacommute, mnatoka chuo halafu kanapewa ‘lift’ na donda wa mat mnabaki maboy mkipiga kaguu kwa njia pekee yenyu. kuna kafeeling mtu alikua anapata unaskia tumachozi tunakam kwa umbali lakini unakumbuka mko kadhaa. kuna kamoja kaliolewa na makanga tukiwa chuo kakafanya mjamaa mmoja alikua anaitwa githendu ashikwe na malaria ya kuchizi, ilibaki amepelekwa mathare term moja!
ngoja Kiti
[ATTACH=full]65968[/ATTACH]
shule mtafungua lini
hapa ni mature people talking about higher education sio mambo ya high skul.
napenda vile umefika higer education bila kupitia highschool
Wengine tulikuwa boarding. Madem tulikuwa tunawaona funkie ama closing/mid-term.
Foe the next two months hi kijiji itakua na tu shida twingi twingi ka hutu
you’ve just made me yawn
kuna manzi alikuwa anatumia boy wake letter tukiwa highschool…na kwa hio letter manzi ameweka letter ingine addressed to me (juu dame tulikuwa tumejuana for long)…sasa huyu chali would bring me the letter and ask me to open it mbele yake. Bahati tuu dame alikuwa anatuma ma greetings na kusema vile life chuo yao iko but mjamaa alikuwa bado anashuku.
little did he know hio ikusde nlikuwa nimechapa kitambo hadi nikaboeka nayo
btw chali alikuwa msapere shining eyes hivi. His now jeshi ya USA
akiyangai ningekuwa mixed high sch singekosa kupanda mbegu
si nirudishwe highschool term moja tu kama tu hakutakuwa na masomo
:D:D:D:D:D
I was in one. We shared everything apart from dorms. Nothing special about it though.
I always like dealing with mature people…
[ATTACH=full]66458[/ATTACH]