[ATTACH=full]177905[/ATTACH]
Hela za kung’arishia viatu.
Mr msh***??umebadili id???
Cage clay
Hahahaaa Nilikosea kujiandikisha upya
Maana kwenye hii kambi ya Kankuma lazima kujiandikisha upya
hahaa nw mm nipo huku
Kweli mazoea ni mabaya
Kweli database ya JF hata kuturuhusu tusome tu wamebana.
Daah huwa natamani waniruhusu hata nihamishe pm zangu aisee
ukitoka chekereni kama waenda mzani wa pale njia panda iyo gari ndio maskani yao pale ukimaliza kona tu unawaona waleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kuendesha gari kwa kipindi hiki sio rahisi kwa kweli hasa hasa kwa masafa
We are spoiling our own reputation due to our poor policies
mkuu ukija ni ile id yako, mchango wako unanoga zaidi. Kumbuka Mike Tyson alipokuwa na jina lile alitamba sana. Alibobadili dini na kubadili jina mvuto ukapotea. Pls rejea kwenye jina lile la nyumbani.
Hii ni kali sana @mshanajnr. Nimesoma story ya huyu kaburu ila kwa shida juu its a bit fuzzy nikajipata nacheka mwenyewe. :D:D:D:D Anajaribu kuvuruga amani
Wakisema washuke kwa ndege waakutana changamoto ya wizi wa mizigo… kwetu pazuri
The CUP is half full…
Nimeshatuma maombi kwa mod mkuu
Hahaha ni mchochezi katumwa na CDM