Interest rate ya 3.5%! Hiyo ni below inflation rate na bado huja account for management fee.![]()
![]()
![]()
Bro alicheswo! Stanchart,sbic,I&m na kadhalika ndio huwa na rate kama hizo.
Just buy treasuries directly from CBK. Where else does he think his deposits are being invested?
The levels of financial illiteracy amongst so-called educated people in this country is appalling!
Even an uneducated shylock in this country makes a killing from his savings because he understands inflation and the power of compound interest.
Its 3 months in a bank ama?
Reminds of how bonobos walioshwa..na Greenhouses
Its starts like apyramid scheme ,aggressive marketing onTV and by Even Maina Kageni.Bonobos wako..kazi wanadhani watamake pesa wakiwa ofisini mwao
This guy is a serial scammer Bana..Aliosha pia watu land over ksh 1.1billion ..
I almost fell for it phase 3 or 4 ndio most pyramid schemes start to fall apart.Phase one is genuine to bring more clients
Nafaa kuanzisha AppleBee MMF nioshe third-world bonobos with promises of high yielding dollar returns. Bonobo ni mtu rahisi sana kuibia as long as you promise him Canaan. Monkey see, monkey do.
Jubilee last year annualy ilikuwa 12%
Nitarudia tena. Middle class peasants ni watu bladifakin. Anataka kulipa rent na school fees na interest ya fixed account. Angekua pipi ningemchapa makofi apate sense
Nikakutana na hao watu wanaweka 100k kwa MMF halafu wanarudi kungoja their money to work for them naweza wawekelea makofi za kumanyoko mpaka watii. 100k kwa kibanda will work for you better than kwa MMF. Nunua nyama kilo moja utoe ndani “quarter” tano ukiuzia bonobos 250 na ugali.
I think mostly ni effects za mshahara.Hizi third party investment schemes mostly hutarget civil servants/private sector employees.These people are paid a fixed income monthly which might not even be a reflection of the workl they have done.
Now they think thats how business works and believe any bonobo in a suit showing a powerpoint presentation of expected returns.
I am of the considered opinion that stupid people should not have money. Ukikutana na mtu mjinga na ako na pesa anza kupiga hesabu vile atakupea.
Worse still, anataka kujenga keja akitumia interest ya MMF after kuwekelea 100k. ![]()
Umewekelea MMF yet huyo jamaa ali invest kwa fixed deposit. He would have been better off holding 90 day T Bills if he is risk averse
Yeah bana unapata jibaba 45 years old complete with splashes of greys anaamini hiyo stuff. Like is this the level of understanding with which you approach life? Then how did you get so far..
Nimewahi consider hivi actually. Kuna wajinga wengi sana it’s easy money.
