Nikiwa kijana mdogo, I used to have this “girlfriend”… alikuwa anaitwa Caroline Wanjiru aka Norris. Norris shida ilikuwa ni babake alikuwa mkali sana. Alikuwa anamlinda kweli kweli and going kwao Un-announced was an almost immediate death sentence . The problem was also their gate man alikuwa anaitisha 50/ to be granted access to the compound which had 3 eatable Girls. That guy must have collected a ton of cash juu alipandisha fee ya kuona Caro na Pia ya kuona elder sister to 100 ama 70 ukiwa regular:D:D:D:D:D, ama muguuka mkishakuwa Mboiz na yeye. siku ya kusafisha mecho for free ilikuwa sundayo_Oo_O when the father and mother walked these 3 lasses to church and back.
Sasa Caro finally went to a College Pale Nyeri town as the father was posted there na mimi nikakuwa nimehama nikaenda masomo 200 kms away, she called me ati she is finally free and we could meet without restrictions. My heart pulpitated vigorously and knew this will be a chance yangu ya kukula vitu. I looked for a practice chick ndio nikienda nijue simwagi haraka and safari nikapanga. Being the cheap broke ninja at that time, nlipanda zile buss huwa zinaenda coast, stop overs kama elfu moja finally nlifika pale Nyeri na kumbeep akuje tupatane. The fisi in me was just wondering ni lini ntanyandua hii toto. Vile alifika nikashika nikaenda kupea mate, Aisee hand on face… nkauliza ata mate boo sipewi? Nikaona nipelekane coffee date ndio mate ipatikane ya kupewa… mimi huyo, 500/ ikameza kwa Java lookalike restaurant. I had to look classy. Nikauliza sasa vitu nakuta saangapi, Ndio akanijulisha kuwa place yeye hulala ni hostels na ziko na stima na barbed wire na pia mbwa kali mbili zinatoshana ndama. Thats when I LOST MY HARD ON and realized, kukula ntakula ni kwa macho pekee.
Nikaanza kujitetea vile ntavalia kama dame aniingize nikute vitu but nligonga ukuta. Nikatoa ile special vibe ati tutalipa huyo gateman wa hapo hostel ndio aniruhusu ama asiseme amemkosa ndio tuende lodging lakini, AKASEMA ZIII. I was running desparate na nikamwambia twende ntaongelesha gateman najua vile huongea, weeeh, this determination I was sparing no expence to get this putthy, Vile tulikaribia Hio hostel akanishow ati ningoje aongeleshe yeye kwanza, akaniambia nimpee 1000/ ya gateman nikatoa mbio, hapo ndio akanipatia hug na kunishow ananilike ningoje atakuja. Mmi nilingoja haadi mbu zikaanza kunishambulia:D:D:D, mazee nkaona sasa one hour imeisha na hachukui simu, Nikaamua kufika kwa hio gateman. Gateman told me hii ni ploti na huyo sichana naulizia ni bibi ya AP, akaniambia hataniambia nyumba but nikiingia Itabidi nimeacha ID juu sijulikani pale. :mad::mad::mad: . Mimi nkamuambia kama ni bibi ya wenyewe, 1K YANGU ANIRUDISHIE. The gateman alicheka akaanguka:D:D:D:D:D:D, (I still here the laughter echos to date ) akaniambia hajaona pesa na kama nimepeana hio nisahau ni sadaka, Hapo ndio nikajua sijui, nikaanza kupiga simu haichukluliwi, kitu saa mbili usiku akanitext niingie gari nirudi kwetu juu zitaisha. This meffi had informed me that we could sleep together ako na keja na pia ako horny. I was so dissapointed, nikasema ya dunia ni mengi.
Nyeri is a very expensive town kwa wenye wanaijua, Nkaanza kutafuta lodging kila. lodging ilikuwa ni 1200/ kulala. 2000/ bed and breakfast. saa tano ilinipata nikizurura kama mchawi nyeri looking for something cheaper. Nikaenda kwa ATM nakutoa pesa. Shida ni ati ukitoa pesa hio masaa, Njoroge na kamau ndio hao. Kukimbizana na mimi. Rubber shoes saved me but mmoja alimake kutoroka na ATM yangu bila pin was on right hand. Somehow wakaniacha na mimi nkaingia moja ya 1200/ na kulala… next morning back home ASAP na kutembea kutafuta kuma long distance nikasema mimi sio Yao ama Kamba the long distance trader.