…hi i wish to join mafisi sacco…on telegram. tell me how to join it
@uwesmake kuja hapa
I also want in
visit your nearest post office for instructions
:D:D:D
mimi pia add me :Nesh9
Uwes weka elders pekee, mambo matam huko.
Je una habari kuwa timu ya soka kutoka uingereza, kwa jina Chelsea, jana ilichabangwa goli mbili kwa moja na Westham United?. Usitoshe beki wao Matiti na Meneja Maureen kapewa kadi nyekundu?.
seriously I want to join this group add me please
Since you’re not an elder, write a 478 word essay on why you seriously want to join and maybe we’ll consider adding you.
…igwee thats my name. add me
@uwesmake…weka kila mtu. huyu webdev in real life anakaa wale watu tu sumbua.
Matic si beki ila ni Kiungo cha kati.
Mpaka nilichoka kuambia uwesmakende ani add ni nugu tu
Toeni 10k mu.addiwe nugu hizi
ni kama wewe ni member???
Mi hata sijui. Tulia watu walipe membership fee
Telegram ni ya VE pekee yake. Ama mtu atoe za macho.
hata @Unicorn si member :D:D