Panasonic AK610

Sharp CD SW200

LG MDT 354

SONY Man Wid Da Bass

Panasonic AK610

Sharp CD SW200

LG MDT 354

SONY Man Wid Da Bass

nilishika hio panasonic na loan ya helb ikaibiwa banae.waliniachia ka speaker ka moja.
Lakini hiyo SONY ya last ilikuwa mabo mbaya.
Kuna siku nilienda hapo Kimathi miaka za 2004 St next to Joker’s Casino kulikwa na SONY Shop wakasema hawawezi test hiyo kitu ikiwa kwa shelf coz kuna hatari itabomoa hizo glass shelves ilete hasara. Kitu kuwekwa kwa floor inaangusha Bass Clef ingine hata tourists wakitombana hapo Stanely Hotel wakapatwa na panic wakashindwa kumwaga. Bass yake ilikuwa kichaa, Low frequency wazimu.
Cooling System yake ni Fans zinapilza Heat Sinks size ya Thermos kwa Main Unit na ingine kwa Main Woofer
kuna shop kwa backstreet yenye ina run parallel na Luthuli Avenue naona bado zina uzwa
Naweza pata io Sony gn 1300d ? Yote au kichwa tu ? Cha kwangu kimekufa
Coordinates mkuu?