Tanzia Mbunge wa Korogwe Steven Ngonyani hatunae tena

Mbunge wa Korogwe Steven Ngonyani amefariki 02/07/2018 usiku katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa anatibiwa.

Profesa maji marefu,mzee wa ndumba a.k.a sayansi ya asili,utamaduni wa mwafrika.poleni familia,ccm,simba s/c(technical bench) kwa kuondokewa na mpendwa. Awekwe anapostahili.

Hivi alikuwa anaumwa nini? Mkewe kafa tarehe 6/6/2018. Yeye sasa , Korogwe kwake niliwahi kumfanyia kazi…

rest in peace

R.I.P prof… kwel dunian tunapita!

[ATTACH=full]181147[/ATTACH]

Mungu amuweke anapostahili, alimdharilisha sana babu yangu kijijini kwetu, basi tu mambo mengine ni kumwachia Muumba ahukumu.

Ma professor wa UDSM hawa kwenda Karimjee kumuaga meenzao!

Picheee Pucheeeee puuuuuuuuuu…!!!