Tabia Mbaya Za Watu Wa Nairobi

Fanya vyenye my Small bro and I did, tulichukulia mbogi Keg Moja ya black na carton Moja ya county whiskey halafu tukafunga gate ya home, hakuna kutoka hapo mpaka hio pombe yote iishe… Hatujawahi sumbuliwa tena

6 Likes

I really hate this tabia. Mlevi mpaka anavuta shatinyako with his grubby gnarled hands na kuleta his stinking mouth right to your face! They are very good at irritating you until you part with something, those motherfuckers.

3 Likes

Hapa huwezi shinda, if you want peace kuwanga na budget yao tu kando which won’t dent your pocket. Iyo story ya kuzunguka pubs scouting for a buyer, pia wanakuanga united sana, they have an intelligence unit among themselves.

Kuna mbogi walikua wamenizoea local yangu ocha in my drinking days sikua nakunywa bila kuwanunulia. Sometimes I was on a strict budget and wanted to unwind so ngehepa niende local ingine kwenye ‘sijulikani’ in my head. Kidogo wanaanza kuingia one by one with intervals of 10 to 15mns, kumbe washaambiwa kwenye niko. Spy network imefanya kazi. And they would know nlikua nawahepa maybe juu ya budget but find cunning ways around it, PhD in persuasion na si directly.

There were however upsides to it, pombe ilikua kama entertainment and information tax. I would know everything from the flimsiest dramas/shenanigans to who to look for incase I needed some things done or even business opportunities/shamba za kuuzwa, etc, ukicheza vizuri

8 Likes

NYAKI?

1 Like

Happens to me all the time nikienda ocha. Esp the dudes tulisoma nao nursery hadi class 4 b4 we moved to NRB…but me hutoboka ma time nikiwa poa. Hao wasee wa ocha hawananga opportunities mob.

5 Likes

I don’t ever patronize ocha pubs. I learnt some tough lessons. Actually from this year I won’t be going to gishagi. Just be sneaking for a day in a year to say hi to mokoro and then sneak out very quickly no saying hi even to close relatives

1 Like

Aren’t your parents alive?

1 Like

Nah, walitangulia.

1 Like

Okay pole. At least hakuna anything to push you to go there

2 Likes

Kwenu ni Nyahururu?

1 Like

Those are useless village drunkards

2 Likes

Its been over a decade since niende Nyaki, Double Vision, Ribs Village etc. Those were cool joints though.

1 Like

Huko ndio mabibi za watu wanakuliwa proper

1 Like

The usually have very funny and interesting stories, ndio utoboke vilivyo

2 Likes

Pole kaka. Wahh I can’t imagine my life without my mum

1 Like