Sultan 001 development

kongowea football pitch
https://pbs.twimg.com/media/C7dpeGjWkAAXWl6.jpg

https://pbs.twimg.com/media/C7dpeGbX0AEOoh9.jpg
https://pbs.twimg.com/media/C7dpeGaWkAElBKz.jpg
vile ina kaa usiku
https://pbs.twimg.com/media/C7f09D8XQAEXfiF.jpg
https://pbs.twimg.com/media/C7f09DjWsAAyLjg.jpg
the sultan himself with jersey 01
http://www.the-star.co.ke/sites/default/files/styles/new_full_content/public/articles/2016/08/15/1403426.jpg?itok=3g8ofGCQ

7 Likes

Hivyo vile alivyochuchuma inaashiria huyo sio mtu aliwahi cheza mpira proper high school, ama huwa hapigi tizi.

How big is this pitch? Yaweza host KPL matches kama camp toyoyo?

Congo-where?

pilipili joho hajaweka parking. that thing is smack in the middle of structures. very risky

1 Like

It has to be your standards to be appreciated???

yaweza host zile mechi kubwa kubwa…

can you imagine sultan ndio ame initiate hio project kisha uhuru akuje adandie aseme ni yeye mwenye ame initiate … sultan will have the right to be mad if someone else comes to take credit of his work

3 Likes

usha itafutia makosa teyari… wengi wa watu wenye hupenda mpira ni watu waku tembea

3 Likes

It is a community field, people are interested in the football not the cars.

9 Likes

that pitch looks cool enough to appear on supersport. the other one in kisauni is right inside the ghetto. wait till an IED is thrown hapo ndio mtajua community pitch requires safety

Mimi kitu naona ingeongezwa ni dressing room and sanitation block, otherwise iko tu sawa.

2 Likes

That land this development is established was grabbed

2 Likes

Personally siwezi complain about the pitch. It is a community pitch lakini and cannot host kpl matches. The problem I have with Joho is that you cannot mention anything else he has done…
Compare this with the new refurbished narok stadium…

2 Likes

Mkiskia imetummia mbesha ngapi mtashangaa

3 Likes

Ngapi tushangae

1 Like

Which standards have I forced on it? Unajua camp toyoyo vile inatoshana ndio uanze kuongea? Hata unajua Camp Toyoyo is in the middle of Jericho estate nairobi? That the Kongowea stadium is better constructed than Toyoyo is of no question. Let me simplify my question. Does KPL/Will KPL use the stadium for KPL matches?

http://www.michezoafrika.com/Gallery/Camp-Toyoyo-Jericho-8.jpg

http://www.michezoafrika.com/Gallery/Camp-Toyoyo-Jericho-10.jpg

Ni vile wewe ni team UOTP nimekuwa mpole.

Ametumia billioni ngapi VS?

1 Like

Camp Toyoyo, smack in the middle of Jericho, a community pitch with astroturf and minimal seating for fans, hosts KPL matches.

As for this one, we all know where you stand so you will water down everything.

Hiyo pitch iko sawa kapsaa…vijana wajibambe.

Hebu leta mbisha za Narok Stadium tuone.

1 Like

Mbeca ngapi?