Wamashati today was up & about.
Pale wakulima ikabidi aongee na raiyaa, akasema anatuacha ndani ya safe hands na tunajua ni nani.
Wengine waendelee kutangatanga
Kenya sio brookside,walituimbia shamba province mzima,warudishe hio kwanza
Wimbo gani mzito?
Walinyakua mashamba yet u*2,tafutia chorus
:D:D everyone can see through the lies. He looks desperate.
Can of worms
Lakini how can he say hatawachia serikali wezi…yet sai from MCAs all through mpaka yeye wore ni wezi, si hiyo ni kutubeba wajinga. King kaka was right.
Kenyans ndio watachagua sio yeye
Hio shati imeweza
hapo sawa tuko nyuma ya symbol of national unity uncle Uhunye :D:D:D:D
Desperate drunkard.
Protect the constitution n follow it.
Konyagi has given katiba a contempt card, that’s why he is throwing tantrums.
We know who the great thief is
BBI itapita.
Na utalia.
Kisha tulia…
Ruto!
Niaje mzito
Ungeandika kwa Kisapere Mungich.
No problem, Sina shida infact Italia more than me.
Ngoja muganga amalize kutumiwa then u will c konyagi true selfish colors.
FYI nms is being used to build northlands city
Jaluo,niweke pay bill?
Stupid Fool! Whoever will be elected by Kenyans in 2022 is the one who will be handed over to. This country does not belong to Uhuru Kenyatta. It belongs to all of us and the katiba is quite clear about handing over power.
Hapo sawa
Njaruo ulisema niangamie njaa?