Apart kuenda boat rides pale Uhuru Park na later kununulia your mboch looking mwoman ice cream choc stick which u lick pamoja like the peasants u are… alafu baadaye muende sonford chips kula njiva kavu na maji ya tap…what else do u do?
Well here is Panyaste
[ATTACH=full]243137[/ATTACH]
Ndio anaenda kwa Yvonne… surprise her with a pizza. Lazima pia mfuko ikuwe poa.
Chunga usiharibu pesa yako yote huko Ujeru alafu urudi Kenya bila chochote.
Anyway Sunday yangu huendanga hivi:
8:00am- Kuamka, kuoga na breakfast.
10:30am- Going to church
1.30am- Eating out, mostly nyama choma or kuku kienyeji joints.
3.00pm- meeting wazee wa nyumba kumi.
4:30pm- head to my favourite base for alcohol
8:30pm- kurudi Kwa nyumba.
Hii ndio siku unapeleka khupipi church, then unapitia kwa dame wa spares, unakula kamoja then unaenda car wash na unazima simu,
1030 unarudi home na u nauliza mbona hawajapika supajeti na mayai,