[FONT=courier new]Mwaka huu Kazi ipo!
GENTAMYCINE ninapowaambieni acheni kujiingiza katika Mahusiano au Ndoa mnadhani kuwa natania? Hivi mnadhani Mimi nilivyoamua kutokuwa na Mahusiano yoyote ya Mwanamke yoyote na badala yake ni ’ Chapa Ilale ’ tu na ’ Mwendo Mdundo ’ kwa Mademu wa Kibongo / Kitanzania labda huwa nakosea?
Kwa taarifa yenu tu sasa utafiti unasema kwamba kila Mwanaume aliye katika Mahusiano humsaliti mwenza wake mara 6 kwa Mwezi na kila Mwanamke aliye katika Mahusiano nae humsaliti mwenza wake mara 4 kwa mwezi. Endeleeni tu kujifanya mnawachumbia hawa Mademu na Kuwaoa ili muwe mnaumizwa vizuri.
Kwa lugha iliyo nyepesi tu na nyoofu ni kwamba Ewe Mwanaume ambaye ama sasa hivi sijui una Rafiki Mpenzi au Mchumba au Mke jua ya kwamba kila Mwezi Wanaume wenzako Wanne ’ Wanakukandamizia ’ huyo Mwenza wako na Ewe Mwanamke unayejidai na kutamba kabisa kuwa eti una ’ Mupenzi ’ mara ’ Laazizi ’ jua ya kwamba kila mwezi huo ’ Mkuyenge ’ wake unatiririka na kuserereka katika ’ Mbunye ’ zilizotukuka Sita.
Mtanuna sana mwaka huu ila ’ Shikamoo Utafiti ’ Kudadadeki!
Nawasilisha.[/FONT]