Mane ako bench
Hapa Bongolalas watachuna.
Senegal will win the cup, TZ watanyoroshwa leo
Simuoni kwa lineup ata bench. Hako drafted hii game.
Bench kwa stands
Huyu keeper was tz anafungwa near post aje
Suspended, ni poa angevunjwa leo
True!! Tz wanacheza kama…ata huwezi define lakini hiyo O…inafinywa sana
Juju solo ndio inaweza waokoa hao
What a goal
Like a fcuking gunshot!
tz have 0 shot on target…akina mane wako na 10 shots on target
Wabongo hili ngome lime washinda. Hata shoti moja hawana. Ole wao. Wakenya tutawatia.
We have 3 serious points to chase after here… Senegal namalisa jirani wetu
Wabongo ni wavivu hata kukimbia ni shida. Wanaambia wasenegali naomba nikufunge bao mwanangu.
Mnaongea na nyinyi ndio next.Ile ayubu mtaonyeshwa
@T255 [ATTACH=full]244280[/ATTACH]
Walipigwa kama burukenge