Naskia kuna vile mtu anaweza unscramble izo channels. Saidieni pris.
Explain, za zuku za dstv za startimes za safaricom box za bamba za go TV?
Za hotpoint decoder. Inashika channels mob bt karibu half ni scrambled
ya gotv kuna venye lakini last week walifunga port karibu zote.
Pole.
@Luther12 hakuna vile?
naeza kuinbox procedure kama utatoboa apo kwengine ujiokolee
si ufanye ivo bana. al be so grateful
Hizi za T2 hamna ujanja. I guess it’s because we’re comfortable in S/S2.
check inbox
Nimeipata. thanx a mill
poa
apo kwingine heheheh…
Unaweza niokolea na ya Zuku?
zii sina iza
iyo method only works on gotv?
Ni inbox PIA Mimi on the same
Ni inbox pia mm
ata mimi
Hata pia mimi nitumiwe. Jana the lady who frequents my house amekwamilia kodi kwangu alafu akaweka porno. Nimpatie hii yangu sijalipa mwaka mzima
@mwaichez tuma kwa inbox nijaribu