2 month sago milikuwa na Samsung S8 (High Copy)…Nilibuy kwa shop 8k nikidhani nimeangukia kumbe mimi ndio niliangukiwa.
But niliunda jina mtaani juu ya hiyo phone. Kuko hivi.
Nilikuwa nikipita nayo kwa maboys,nickname ilikuwa *Cousin Ya BuzekiSema kuvuma mtaaani to be the only boy who own Samsung Galaxy S8 which has the highest price (55,700Ksh)yenye ukiuza unanunua.
Nikawa kashenzi nikaanza Habit ya kuweka Alarm ya 5mins nikijua kuwa nikifika kwa mabeshte wenye awajaona,itaanza alafu nikatoe inche nijifanye napigiwasema kuchuna mtaani bro.
Hakuna mwenye angefikia level yangu that time mwenye angebishana price ya hiyo phone nilikuwa na Google alafu nawaonyesha…
Nikawa na mazoea,Boy flani from no wear akasema ati ako na Series anataka nimsaidie phone azitume ndani alafu atachukua hizo Vida kesho yake…Ujinga nikakubali nikijichocha ati hiko na internal 64Gb Internal memory.
Wakaanza kuweka hizo Series (IF Loving you Is wrong) na moja iko na size 340mb.
Wliweka mbili tu simu ikasema not enough space please delete some item♂na ati ni 64Gb kumbe the real ni 681mb.
At some place with the boys we met woria selling high end phones. Wacha customers waanze orders na ma mpesa. I asked my jamaas pole pole. S6 pale safcon in bei gani? Huyu jamaa ako na backpack anahawk bei gani? Wacha tuseme hiyo Siku in kunywa tu na yes kungurus.