[ATTACH=full]179694[/ATTACH]
:D:D:D:saitan::saitan::eek::eek:
[ATTACH=full]179694[/ATTACH]
:D:D:D:saitan::saitan::eek::eek:
nashangaa nimeingia jf lol
Sijui nibaki huku huku
Jf is back but nashaangaa
Swez kurplay wala kuweka thread
Thread za mwisho n za June 10 ndo
Znaonekana tu
wakuu na mimi ndo nimekuja kuwauliza huku imekuaje nimeingia kule JF butbno kureply no kupost thread na nyuzi zilizopo ni za zamani hakuna mpya ,au maandalizi ya kuzuiwa tusiendelee na ID zetu fake!!!?
Jf itakua ipo kwenye majaribio bado
Amini usiamin,JF haiwezi kurudi kiraisi raisi tu
Wasiwasi wenu tu
Ngoja tuendelee kusubiria
Max atakuwa anafight sana kutulinda…
Ila sidhani kama atafaulu.
Afu am using my real email address huku Kenya.
Shida sana…yanawza yakaja na huku.
kote. kule hakuamiki hata kidogo
kule read only
Wamemount RO, not RW
IKO KWA AJILI YA KUSOMA TU YALIYOPITA…
Kama library
Labda wameka hivyo ili kila mmoja ajisome ni jinsi gani ameitendea nchi…
:p:p:D
Jf nimepita kule Ipo Kama gofu la nyumba iliyoungua zamani
Hahah