Rich but Ugly

Kama ni sura mbaya unapiga chuma alafu unavaa vizuri ndio uweze kusafisha mecho za watu to some extent. Hiyo yote itatake two years hivi maximum. Looks are the easiest problem for a man to solve in his life. Gimme that money.

[ATTACH=full]224226[/ATTACH]

beauty is in the eye…blah blah blah

Hapa kweli, pale lower primary vijana lightskin walikuwa favorite ya walimu ata kuchapwa kwao ilikuwa ngumu.