ni punishment gani umesha patiwa kali sana?mimi nikiwa soldier nilifanywa hivi na hio shimo ni mimi nilichimba[ATTACH=full]52461[/ATTACH]
Soldier pale Koelel?
Mwenye ali-approve papers zako za kuingia army alikuwa na akili mzuri kweli?
nys ama g4s ??
Hizi maswali jiwekee uulize ukienda clinic ya mimba.
kwanza green beret
@admin how do you pin a comment? ?
JEMBE YA NYS SI KAMA BUNDUKI YA ARMY NGOMBE WEWE SHEMEJI
Wapi? Hii huwa drill na si ya kila mtu, not even Kenyan Millitary. Upuss pereka huko
[ATTACH=full]52472[/ATTACH]
:p:D:D:D:D:D:D:D:D
BM Security… (Blueline Mkarara)…
Hehehe…
[ATTACH=full]52477[/ATTACH]
Boss. Hio ni kali :D:D:D
Soldier wa mungich pale banana kiambu?
Kuna time nimeletwa na mungich from kiambu town mbio nikashikiwa hapo bano! Back then around 1999 I used to drive a lorry, and the shiny eyes mungich used to okota toll from trucks and matatu at the main kiambu stage! Nikahepa one time after they had stopped me in kiambu. After driving for like a km nikaona a matatu imekuja mbio nyuma yangu imejaa mungich na marungu zao waving me to stop! Nikajua hapa sasa kimeumana. Nikaongeza speed ya lorry sahizo nimewablock hawaezi nipita… tukaperekana mbio sisi hao all the way huko snr chief teke teke ma mungich wako tu nyuma na matatu yao wananifuata! Kwenda kufika hapo banana nikapata roadblock sasa ya wale mungich wa bano wamefunga baro yote!! Hapo ikabidi nimetii amri. Luckily for us, one of my guys was a snr mungich huko side za Ungwaro and he was able to calm the irate youth. I dont think we could have left that place alive
hehe hiyo time mungich walikuwa wamesumbua sana hadi gava ikasema enough is enough wakalishwa ndengu… senior mungich @Wakanyama aliponea sana, alipoona vile mungich wenzake wanamalizwa huko kiambu alihepea dago… siku hizi anauza mutura na mayai boilo
KUNA WAKATI NITAPITA NA MMOJA WENU HISTORIA IBAKI
Hizo ni punishment za wale mabandit wa hizo area zina border Mexico huko US.
@blueline Mkarara kuja haraka. Sikujua unakuwanga birionea…
:D:D:D Leo mmevuta gani?